24.2 C
Dar es Salaam
Thursday, April 25, 2024

Contact us: [email protected]

BASHE ATAKA BUNGE LIJADILI TATIZO LA UTEKAJI WATU

Mbunge wa Nzega, Hussein Bashe, ametaka Bunge kuahirisha shuguli zake leo na kujadili tatizo la utekaji watu alilosema linaharibu sifa ya nchi. Amesema pia amepewa taarifa kwamba yupo kwenye kundi la wabunge 11 ambao wamewekwa kwenye orodha ya wabunge wanaotaka kuuliwa na kikundi hicho wakikaa vibaya barabarani.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles