23.8 C
Dar es Salaam
Thursday, April 25, 2024

Contact us: [email protected]

BABA WA MICHAEL JACKSON AZIKWA KWA SIRI

CALIFORNIA, MAREKANI


BABA wa staa wa zamani wa muziki wa Pop, Michael Jackson, Joe Jackson, anadaiwa kuzikwa kwa siri katika misitu ya Lawn Memoriol Park, California nchini Marekani.

Inasemekana kuwa mazishi hayo yalifanyika juzi huku baadhi ya wanafamilia wa marehemu wakihudhuria na ndugu wengine wakitakiwa kwenda siku inayofuata kushuhudia kaburi.

Miongoni mwa watu waliokuwepo kwenye mazishi hayo ni pamoja na aliyekuwa mke wa Michael Jackson, Katherine pamoja na watoto wake nane wakiungana na Janet Jackson.

Joe Jackson alipoteza maisha wiki iliyopita nyumbani kwake Las Vegas, Nevada, huku akiwa na umri wa miaka 89, baada ya kusumbuliwa na saratani ya kongosho ya hatua ya mwisho.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles