27.1 C
Dar es Salaam
Friday, March 29, 2024

Contact us: [email protected]

AU yazitaka Kenya na Somalia kumaliza mvutano

Nairobi, Kenya

Umoja wa Afrika umezitaka Somalia na Kenya kufanya mazungumzo ili kupunguza mvutano wa mpakani uliosababisha vifo vya watu 11 na wengine kadhaa kujeruhiwa Jumatatu.

Hayo yamebainishwa jana na Mwenyekiti wa Kamati ya Umoja wa Afrika, Moussa Faki Mahamat, ambapo amezitaka nchi hizo jirani kusitisha uhasama na kufanya mazungumzo kwa mujibu wa mchakato unaoongozwa na Jumuiya ya Maendeleo ya Serikali za Afrika Mashariki (IGAD), ili kutatu migongano kati yao.

Mahamat amesema, amani ya mpaka kati ya Somalia na Kenya ni muhimu sana kwa utulivu wa kikanda.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
585,000SubscribersSubscribe

Latest Articles