25 C
Dar es Salaam
Wednesday, April 24, 2024

Contact us: [email protected]

Amini: Makundi ya wasanii huleta dawa za ulevya

aminiNA GLORY MLAY

 ALIYEWAHI kuwa mchumba wa msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Linah Sanga, Amini Mwinyimkuu ‘Amini’ amesema makundi mabaya wanayokuwa nayo baadhi ya wasanii ndiyo yanayowaingiza katika matumizi ya dawa za kulevya

Msanii huyo anayetamba na wimbo wa ‘Hawajui’ alisema wasanii wengi hawajitambui kutokana na makundi waliyonayo, ndiyo maana hushindwa kusimamia hata kazi zao za muziki kiasi cha kukosa mwelekeo.

“Tatizo la dawa za kulevya kwa wasanii nchini linaonyesha kuondoa taifa linalohitajika nchini katika kusaidia ukuaji wa uchumi wake, hivyo inabidi waachane na makundi yasiyo na mwelekeo,’’ alisema.

Dawa za kulevya kwa wasanii limekuwa janga baada ya wasanii wenye majina makubwa kukamatwa na kufungwa katika magereza ya nchi mbalimbali na baadhi yao kupatiwa huduma katika baadhi ya vituo vya kusaidia kuachana na matumizi hayo.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles