27.9 C
Dar es Salaam
Thursday, March 28, 2024

Contact us: [email protected]

Amber Lulu awafumbua wasanii

Glory Mlay

MSANII Amber Lulu, amewataa wasanii kujitambua na kuwekeza katika biashara nyingine ili kujipatia kipato zaidi.

Amber Lulu amesema kuwa muziki unalipa lakini hauwezi kukufikisha kwenye malengo makubwa ambayo umejiwekea.

“Wasanii tujitambue na tujifunze kuwekeza katika biashara nyingine, maisha yamekuwa magumu na ukiangali wengi hatujafika kwenye malengo ambayo tunayahitaji, hivyo ukitegemea muziki pekee hatuwezi kutoboa,” alisema.

Mbali na hilo, Amber Lulu aliwataka wasanii kujikinga na maambukizi ya Corona kwasababu umekuwa janga kwa taifa na duniani kote.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
585,000SubscribersSubscribe

Latest Articles