31.2 C
Dar es Salaam
Thursday, March 28, 2024

Contact us: [email protected]

Alex Mlinda, Jackson Yusuph waachia ‘Nipe Jibu’

Texas, Marekaniutoka

Kutoka nchini Marekani mwimbaji anayekuja kwa kasi kwenye gospo, Alex Mlinda, amewaomba wapenzi wa muziki huo kuipokea na kuitazama video ya Nipe Jibu aliyomshirikisha Jackson Yusuph.

Akizungumza na www.mtanzania.co.tz Mlinda amesema anaamini mashabiki wataipenda video ya wimbo huo kutokana na ujumbe wake wenye mguso wa kipekee.

“Nimeachia video ya Nipe Jibu katika chaneli yangu ya YouTube, naomba mashabiki zangu wa hapo Bongo na Afrika Masharik yote wanipe sapoti ili huduma yangu ifike mbali pia naomba waendelee kufuatilia kazi zangu kwenye mitandao ya kijamii kama Instagram natumia jina la Alex Mlinda” amesema mwimbaji huyo mwenye asili ya Burundi.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
585,000SubscribersSubscribe

Latest Articles