27.2 C
Dar es Salaam
Wednesday, April 24, 2024

Contact us: [email protected]

Aggrey Morris astaafu Stars, amuachia usia Mwamnyeto, Sebo

Na Winfrida Mtoi, Dar es Salaam

Beki wa mkongwe wa Azam FC, Aggrey Morris, amefunguka juu ya kustaafu kucheza timu ya Taifa ya Tanzania,Taifa Stars, huku akiwaachia usia mabeki chipukizi kuendeleza pale walipoishia.

Morris amesema anaondoka akiwa anaamini wapo watu wenye uwezo wa kuendeleza pale walipoishia, akiwataja miongoni mwao kuwa, Bakari Mwamnyeto na Abdallah Kheri ‘Sebo’.

Amesema alianza kuitwa timu ya Taifa mwaka 2009 ni wakati sasa wakuachia wengine kama wao walivyoachiwa na anaamini anaicha Stars ikiwa salama katika safu ya ulinzi.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles