30.2 C
Dar es Salaam
Friday, March 29, 2024

Contact us: [email protected]

Dayna afurahia maisha ya usiri


JENNIFER ULLEMBO-DAR ES SALAAM

MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Mwanaisha Nyange ‘Dayna Nyange’, amesema kwake maisha ya usiri ni kitu cha kawaida, ndio maana hababaishwi na mitandao ya kijamii.

Akizungumza  jijini Dar es Salaam hivi karibuni, mwanadada huyo alisema mitandao ya kijamii imetengenezwa kurahisisha maisha ya watumiaji.

“Unajua mitandao ya kijamii imetengenezwa kurahisisha maisha, mtumiaji akiwa na akili atafanikiwa sana, lakini ikitumiwa vibaya madhara yake ni makubwa zaidi,” alisema Dayna.

Alisema kwa upande wake, haipi nafasi  sana mitandao ya kijamii kuzungumzia maisha yake, ndiyo maana hata masuala ya mahusiano na familia yake hayajulikani ovyo.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
585,000SubscribersSubscribe

Latest Articles