30.2 C
Dar es Salaam
Thursday, March 28, 2024

Contact us: [email protected]

Zuku waja na kifurushi kipya

zuku-TV1NA MWANDISHI WETU

KAMPUNI ya ving’amuzi ya Zuku imesema itaendelea kuboresha sekta ya filamu nchini kwa kutangaza kazi za wasanii ndani na nje ya nchi.

Mkuu wa kampuni hiyo nchini, Omari Zuberi, alisema hayo jana wakati wa uzinduzi wa kifurushi kipya cha Smart.

“Kazi yetu ni kuwatangaza wasanii nje na ndani ya nchi kupitia Zuku filamu kwa kuwa tunaamini kwamba kundi hili linapaswa kuinuliwa ili waweze kupata masilahi ya kutosha kutokana na kazi zao,” alisema Zuberi.

Kampuni hiyo ambayo ni mdhamini wa tamasha kubwa la filamu za kimataifa litakalofanyika visiwani Zanzibar, kwa sasa kifurushi hicho kipya kitakuwa kikilipiwa Sh 10,000 zitakuwa na chanel zaidi ya 20.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
585,000SubscribersSubscribe

Latest Articles