24.2 C
Dar es Salaam
Tuesday, April 23, 2024

Contact us: [email protected]

Yaliyojiri mjengoni

Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye akiuliza swali la nyongeza kuhusu utaratibu mpya wa ununuzi wa korosho kupunguza mapato ya halmashauri.
|PICHA na Silvan Kiwale
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira, Januari Makamba, akisoma Makadirio ya Mapato na Matumizi ya wizara hiyo kwa mwaka 2019/20 bungeni jijini Dodoma leo Jumanne Aprili 16.
|PICHA na Silvan Kiwale
Naibu Waziri wa Kilimo, Omari Mgumba, akijibu maswali mbalimbali ya wabunge yaliyoelekezwa katika Wizara hiyo.
|PICHA na Silvan Kiwale
Naibu Waziri wa Muungano na Mazingira Mussa Sima akijibu maswali bungeni jijini Dodoma leo Aprili 16, wakati wa kipindi cha maswali na majibu.
|PICHA na Silvan Kiwale
- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles