23 C
Dar es Salaam
Saturday, April 20, 2024

Contact us: [email protected]

WFP YAHITAJI FEDHA ZAIDI KULIKABILI BAA LA NJAA HASWA KWA WATOTO

Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Chakula Duniani, WFP David Beasley ametaka kuongezwa fedha zaidi zitakazonunua vyakula vya kutosha ili kusaidia mamia ya watoto wanaokufa kwa njaa duniani.

Amesema nchi nne zilizoathirika zaidi ni Yemen, Sudan Kusini, Somalia na Nigeria, na kuna uwezekano watoto mia sita wakafariki ndani ya miezi minne ijayo kwa kukosa chakula.

Ameitaka pia Saudi Arabia kuisaidia Yemen kukabiliana na baa kubwa la njaa linaloikabili.

Pamoja na mambo mengine, vita inatajwa kuwa sababu kubwa ya watoto kukosa chakula katika sehemu zenye migogoro.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles