24.2 C
Dar es Salaam
Saturday, April 20, 2024

Contact us: [email protected]

WATUHUMIWA ARUSHA WATISHIA KUTOFIKA MAHAKAMANI

Na Mwandishi wetu,

Watuhumiwa 61 wanaokabiliwa na kesi za matukio ya mkoani Arusha wametishia kutokufika mahakamani tena kutokana na upelelezi wa kesi zao kutokukamilika kwa zaidi ya miaka minne.

Mbele ya Hakimu Mkazi Nestory Barro, watuhumiwa hao walidai kuwa wamechoshwa kuletwa mahakamani kila mara lakini upelelezi wa kesi zao haujakamilika mpaka sasa na kudai kuwa wataendelea kukaa gerezani mpaka upelelezi wa kesi zao utakapokamilika ili kesi zianze kusikilizwa na Mahakama Kuu Kanda ya Arusha.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles