25.7 C
Dar es Salaam
Friday, April 19, 2024

Contact us: [email protected]

Wasanii wa hip hop kunogesha ZIFF mwaka huu

Farid Kubanda ‘Fid Q’
Farid Kubanda ‘Fid Q’

Na MWANDISHI WETU,

WASANII wa hip hop, Farid Kubanda ‘Fid Q’, Juma Kassim ‘Juma Nature’, Stamina na Young Killer ni miongoni mwa wasanii watakaonogesha Tamasha la 19 la Kimataifa la Filamu za Nchi za Jahazi maarufu ZIFF, linalotarajiwa kuanza maonyesho yake Julai 9 hadi 17 visiwani Zanzibar.

Tamasha hilo limezinduliwa rasmi jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki likiwa na kauli mbiu ya ‘Ndiyo hii Safari Yetu’.

Meneja wa Tamasha hilo, Daniel Nyalusi, alisema kwa mwaka huu tamasha hilo limeshirikisha

vyombo mbalimbali vya fi lamu vikiwemo Nollywood, Bollywood na Hollywood ambapo mgeni rasmi atakuwa ni Kunal Kapoor kutoka nchini India.

“Kuna wasanii wengi tumewashirikisha lakini kuna mmoja kutoka Marekani tumemfanya

‘surprise’ hivi karibuni tutamuweka wazi lakini pia tumepokea filamu 490 kutoka nchi 32 na filamu 80 zimepitishwa, fi lamu za Bongo ni 15.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles