25.2 C
Dar es Salaam
Tuesday, April 23, 2024

Contact us: [email protected]

WABUNGE WA CORD NCHINI KENYA WAMGOMEA SPIKA WA BUNGE

spika-wa-b-unge-kenyajustin
Spika wa Bunge la Kenya Justin Muturi

Wabunge wa CORD nchini Kenya wamemgomea Spika wa Bunge hilo Justin Muturi kuingia ndani ya ukumbi wa Bunge kuendesha kikao cha Bunge kilichoitishwa kwa dharura kurekebisha sheria ya uchaguzi iruhusu kura kuhesabiwa kawaida badala ya njia ya kielektroniki..

Katika mgomo huo, CORD wanataka utaratibu wa ‘electronic’ uendelee, walimtusi pia Rais Uhuru Kenyatta kwa madai kuwa ni njama za JUBIELEE kutaka kuiba kura katika uchaguzi wa mwakani

Hata hivyo JUBILEE wao wanataka sheria ibadilishwe ili tume ya uchaguzi itumie njia ya kawaida kuhesabu kura na hii ni kwa madai kwamba CORD wanataka kuiba kura kwa kutumia njia za kielektronik katika uchaguzi ujao.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles