25.2 C
Dar es Salaam
Thursday, April 25, 2024

Contact us: [email protected]

Viongozi Vyuo Vikuu Dar kumuenzi Mwalimu Nyerere kwa ziara

nyerere-2

Viongozi wa Vyuo Vikuu Dar es salaam wanataraji kufanya ziara ya kutembelea nyumba aliowahi kuishi Hayati Mwl Julius Nyerere iliyopo Magomeni jijini hapa.

Kwa mujibu wa Mratibu wa ziara hiyo, Marco Bujiba, amesema lengo la ziara hiyo ni kutafakari kwa upana juhudi za Baba wa Taifa kulikomboa Taifa kwa kupambana na umaskini, ujinga na maradhi.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles