33.2 C
Dar es Salaam
Friday, March 29, 2024

Contact us: [email protected]

Uhamiaji yakamlisha nyimbo tatu

NA VICTORIA GODFREY

UONGOZI Bendi ya Idara ya Uhamiaji umesema tayari umefanikiwa kukamilisha kurekodi nyimbo tatu hadi sasa.

Akizungumza na MTANZANIA jana, kiongozi wa bendi hiyo Matei Joseph, alitaja nyimbo hizo ni Bamatta, Uhamiaji mtandao na Hongera Magufuli.

“Tuna nyimbo nyingi tulizoandaa na tumeanza na nyimbo tatu kurekodi na tutaendelea na mpango wa kuhakikisha tunarekodi nyimbo nyingi zaidi,”alisema Joseph.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
585,000SubscribersSubscribe

Latest Articles