31.2 C
Dar es Salaam
Thursday, March 28, 2024

Contact us: [email protected]

Taylor Swift alitikisa mwaka 2019

New York, Marekani

NYOTA wa muziki nchini Marekani, Taylor Swift, ametajwa kuwa msanii namba moja ambaye alifanya mauzo makubwa ya muziki kwa mwaka 2019.

Kwa mujibu wa mtandao wa IFPI, Jumatatu wiki hii walitoa orodha ya wasanii duniani ambao walitikisa sokoni kwa mwaka huo na msanii huyo akashika namba moja.

Mwaka 2019 msanii huyo aliachia albamu inayojulikana kwa jina la Lover na kumfanya ashinde kuwa msanii bora wa mwaka huo kwa mara ya pili, huku mara ya kwanza ikiwa mwaka 2014 ambapo aliachia albamu inayojulikana kwa jina la 1989.

Albamu ya Love iliachiwa tangu Agosti mwaka jana na kuuza jumla ya kopi milioni 3 ndani ya wiki moja ya kwanza nchini Marekani. Wasanii wengine ambao walifanya vizuri ni pamoja na Ed Sheeran akishika nafasi ya pili.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
585,000SubscribersSubscribe

Latest Articles