24.4 C
Dar es Salaam
Thursday, April 18, 2024

Contact us: [email protected]

Tamisemi waitikia agizo la JPM

Na MAREGESI PAUL

-DODOMA

WAZIRI wa Tamisemi, Seleman Jafo, amehamia rasmi katika ofisi yake mpya ikiwa haijakamilika, iliyoko eneo la Mtumba katika mji mpya wa Serikali jijini hapa.

Kuhamia katika ofisi hiyo ni sehemu ya utekelezaji wa agizo la Rais Dk. John Magufuli alilolitoa wiki iliyopita, wakati akizindua rasmi mji huo mpya.

Katika maelezo yake, Rais Magufuli alisema viongozi wa wizara hiyo pamoja na kwamba jengo lao halijakamilika, watatakiwa kuhamia hivyo hivyo kuanzia juzi Jumatatu.

Pamoja na hayo, Rais Magufuli alisema wizara zote zitatakiwa kuhamia katika eneo hilo ili kila atakapokuwa akitaka kukutana na mawaziri, awafuate katika eneo hilo.

MTANZANIA lilifika eneo la ofisi hizo jana na kushuhudia ujenzi ukiendelea katika maeneo mbalimbali ya jengo hilo.

Akizungumza na MTANZANIA katika eneo hilo, Waziri Jafo alisema alilazimika kuhamia ofisini humo ili kuonesha ni kwa jinsi gani …

Kwa habari zaidi jipatie nakala yako ya gazeti la MTANZANIA.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles