31.2 C
Dar es Salaam
Thursday, March 28, 2024

Contact us: [email protected]

SNURA MUSHI: NATAMANI NIMRUDIE MUNGU

Na KYALAA SEHEYE


MSANII aliyetamba na wimbo wa Chura, Snura Mushi, amesema malengo yake makubwa ni kumrejea Mungu kabla hajaaga dunia.

Snura alisema imani yake ni kwamba mambo ya dunia yana mwisho wake, hivyo kuamua kuwa mlezi wa madrasa aliyoachiwa na marehemu babu yake iliyopo Yombo Vituka, kama njia ya kumrudia Mungu.

“Najitahidi kufanya kazi kwa bidii na maombi yangu kwa Mungu ni aniwezeshe niweze kumtumikia kabla siku yangu ya kufa maana natamani ifike siku niachane na masuala ya kidunia, nijielekeze kwenye dini,” alieleza Snura.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
585,000SubscribersSubscribe

Latest Articles