25.2 C
Dar es Salaam
Thursday, April 25, 2024

Contact us: [email protected]

SNEIYA AWATOA HOFU MABINTI

NA JANETH MAPUNDA

RAPA anayekuja kwa kasi kwenye muziki wa Bongo Fleva, Husna Deogratius ‘Sneiya’ ame- watoa hofu wasanii wa kike na kuwaomba wasiogope kuonyesha vipaji walivyonavyo.

Akipiga stori na Swaggaz, Sneiya ambaye hivi sasa anatamba na wimbo unaoitwa Nawaza alisema chanzo kikubwa cha Bongo Fleva kuwa na wasanii wachache wa kike ni uoga na hofu ya kukabiliana na changamoto.

“Tusiogope kuonyesha vipaji vyetu hasa sisi wasanii kunao rap kwa sababu muziki wetu hivi sasa una upungufu
mkubwa wa wasanii wa kike,” alisema Sneiya.

Aliongeza kuwa yeye ameamua kufanya muziki wa Hiphop si kwa ajili ya ushindani bali ameamua kufanya hivyo kwa sababu ana uwezo wa kuandika mashahiri pia staili ambazo haijawahi kusikika.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles