27.5 C
Dar es Salaam
Thursday, March 28, 2024

Contact us: [email protected]

Serikali yasitisha sheria ya vipimo

Arodia Peter, Dodoma

Serikali imesitisha kwa muda matumizi ya sheria ya vipimo inayotaka kutumia vifungashio katika usafirishaji wa viazi mviringo kutoka maeneo ya uzalishaji kwenda sokoni.

Akisoma hotuba ya bajeti wa Wizara Viwanda na Biashara, bungeni leo Mei 14, waziri mwenye dhamana, Joseph Kakunda amesema sheria ilikuwa ikiwataka wazalishaji kutumia vifungashio maalum ambavyo kwa bahati mbaya upatikanaji wake una matatizo.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
585,000SubscribersSubscribe

Latest Articles