30.2 C
Dar es Salaam
Saturday, April 20, 2024

Contact us: [email protected]

Serikali ya Ugiriki yatangaza kupunguza kodi, kuongeza malipo ya wastaafu

Waziri Mkuu wa Ugiriki Alexis Tsipras ametangaza kupunguza kodi na kuongeza malipo kwa wastaafu.

Tsipras amesisitiza kwamba Serikali ya Ugiriki inawekeza katika sera za kijamii na kiuchumi na kuwa itayatimiza majukumu yake na kulipa mikopo iliyopokea.

Kutokana na mzozo wa kiuchumi uliokuwa unaikabili Ugiriki mwaka 2012 na uliopelekea nchi hiyo kukopa sana, nchi hiyo iliagizwa kuchukua hatua za dharura za kuweka akiba ya kifedha na miongoni mwa hatua hizo ilikuwa ni kupunguzwa kwa malipo uzeeni.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles