31.2 C
Dar es Salaam
Friday, March 29, 2024

Contact us: [email protected]

RICK ROSS AREJEA KWA KISHINDO JUKWAANI

LOS ANGELES, MAREKANI



MWANAMUZIKI wa hip hop wa Marekani, Rick Ross, amerejea kwa kishindo katika shughuli zake za kawaida baada ya juzi kufanya tamasha kwa mara ya kwanza katika ukumbi wa Light uliopo mjini Las Vegas, Marekani.

Mapema mwezi huu Rick Ross alidondoka ghafla na kuwahishwa hospitali akidaiwa kuwa na tatizo la moyo lililompata akiwa nyumbani kwake.

Katika tamasha lake, Rick Ross maarufu kama ‘Da Boss’, aliwaeleza mashabiki wake kuwa yupo fiti kuendelea na kazi.

Baada ya kuimba nyimbo chache Da Boss aliomba polisi wamwachie huru rafiki yake kipenzi Meek Mill ambaye anashikiliwa na Jeshi la Polisi la Marekani.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
585,000SubscribersSubscribe

Latest Articles