24.2 C
Dar es Salaam
Thursday, April 25, 2024

Contact us: [email protected]

RAYVANNY AJIWEKA FITI AWEZE KUDUMU

Na JENNIFER ULLEMBO-DAR ES SALAAM



MSANII wa muziki wa Bongo Fleva kutoka Kundi la WCB, Raymond ‘Rayvanny’, amesema atajitahidi kuandika mashairi yatakayowafikirisha mashabiki wake ili aweze kudumu kwa muda mrefu.

Akizungumza jana, msanii huyo alisema ana imani mashairi anayoimba yamekuwa yakiwavutia mashabiki wa rika mbalimbali na kwamba, amekuwa akijitahidi kuwavutia ili kutoa nafasi ya muziki wake kukua zaidi.

“Ninachokiandika nakipitia mara mbili ili kuepusha kufungiwa au kulaumiwa kwa kufanya kazi mbaya na isiyoridhisha,” alisema Rayvanny.

Alisema anafarijika kuona nyimbo zake zinapendwa na kuimbwa hata na watoto na jambo hilo linampa faraja ya kufanya kazi bora zaidi.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles