27.9 C
Dar es Salaam
Thursday, March 28, 2024

Contact us: [email protected]

NANDY AIONA NAFASI YA KUPAA ZAIDI

NA CHRISTOPHER MSEKENA

THE African Princess, Faustina Charles ‘Nandy’ amesema anaamini anayo nafasi nyingine kubwa zaidi ya kuvuna mafanikio ya kipaji chake cha muziki na kuiwakilisha vyema Tanzania.

Staa huyo ambaye mwaka huu amechomoza kwenye tuzo kubwa za Afrima, amesema muziki siyo kuimba, kuna vitu vingine vya ziada ambavyo humpa msanii nafasi ya kupaa juu zaidi kwenye tasnia.

“Namshukuru sana mwenyenzi Mungu kwa kila kibali anachonipa, naamini kwenye maandiko yake huu ni mwaka wa kupaa juu kama zaidi kama Tai,” alisema Nandy anayetamba na ngoma yake ya Wasikudanganye.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
585,000SubscribersSubscribe

Latest Articles