25.7 C
Dar es Salaam
Friday, April 19, 2024

Contact us: [email protected]

Monalisa awashtua waigizaji kuchangamkia AWAFFEST

Jeremia Ernest

KUELEKEA msimu mwingine wa Tamasha la Sanaa na Filamu la Wanawake wa Kiafrika (AWAFFEST 2020), mwigizaji mkongwe nchini Yvonne Cherry ‘Monalisa’, amewataka wasanii wakike kutumia fursa hiyo kwa kupeleka kazi zao zikashindane.

Akizungumza na MTANZANIA, Monalisa alisema milango ipo wazi kuanzia mwezi huu mpaka Novemba kwa waigizaji na waandaaji wa filamu wanawake kupekeleka kazi zao.

“Niwaombe wanawake wenzangu kutumia fursa hii ya kujitangaza katika tamasha hili kubwa ili kutangaza kazi zao,” alisema Monalisa.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles