27.1 C
Dar es Salaam
Friday, March 29, 2024

Contact us: [email protected]

Mkiwa ajitosa uenyekiti wa wanawake ACT Wazalendo

Mwandishi wetu

Mwenyekiti wa Mkoa wa Mwanza, Mkiwa Kimwanga amechukua fomu ya kugombea Uenyekiti wa Ngome ya Wanawake Taifa kupitia cha Cha ACT Wazalendo.

Mkiwa amekabidhiwa fomu hiyo na Ofisa wa Kamati ya Uchaguzi wa ACT, Risasi Semasaba leo Jumatano Februari 12.


Mkiwa Kimwanga

Pazia la kuchukua na kurejesha fomu kwenye uchaguzi wa ACT Wazalendo unaotarajiwa kufanyika Machi 2020 na litafungwa Februari 26 mwakani.

Mkiwa anakuwa mwanamke wa tatu kuchukua fomu ya nafasi hiyo baada ya Janeth Rithe na Salma Mwasa.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
585,000SubscribersSubscribe

Latest Articles