25.2 C
Dar es Salaam
Thursday, April 18, 2024

Contact us: [email protected]

Mbunge Chadema atamani kuwa Waziri wa Magufuli

Arodia Peter, Dodoma

Mbunge wa Ndanda, Cecily Mwambe, (Chadema) amesema anatamani kuwa Naibu waziri wa Kilimo ili asaidie kuokoa zao la korosho ambalo limo kwenye matatizo makubwa.

Mwambe ameyasema hayo wakati akijadili hotuba ya Wizara ya Kilimo Bungeni leo, Mei 17, ambapo pamoja na mambo mengine amesema viongozi waliopo kwenye wizara hiyo wameshindwa kumshauri vizuri rais na hawana kauli nzuri kwa wadau wa korosho.

Amesema matatizo makubwa yaliyojitokeza kwenye ununuzi wa korosho ni matokeo ya viongozi hao kutokuwa na uwezo.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles