27.2 C
Dar es Salaam
Friday, April 19, 2024

Contact us: [email protected]

MAYWEATHER AONYESHA JEURI YA FEDHA KLABUNI

 

LOS ANGELES, MAREKANI


Bondia  Floyd Mayweather alikwenda katika klabu moja ya usiku mjini New Jersey, akiwa na Dola za Marekani 50,000 (zaidi ya Sh milioni 114 za Tanzania).

Mayweather alionekana akirusha hewani mkwanja mwingine, hasa baada ya kuachiwa kwa ngoma ya ‘Canon’ ya mkali Lil Wayne.

Hata kabla ya kufuru hiyo ya utumbuaji mkwanja, tayari Mayweather alishawaacha hoi wengi baada ya kutumia Dola 5,000 (zaidi ya Sh milioni 11) kununua chupa moja ya pombe aina ya Louis XIII.

Licha ya kumwaga kiasi hicho cha fedha, wala hakunywa, ilikuwa ni kwa ajili ya marafiki zake tu aliokwenda nao ‘kula bata’.

 

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles