27.5 C
Dar es Salaam
Thursday, March 28, 2024

Contact us: [email protected]

Marekani yakamata meli ya Korea Kaskazini

Serikali ya Marekani imekamata meli ya mizigo ya Korea Kaskazini iliyokuwa ikitumika kusafirisha makaa ya mawe kinyume na vikwazo vya Marekani na Umoja wa Mataifa.

Maafisa wa Marekani wamesema waliikamata meli hiyo kwa jina Wise Honest jana Alhamisi wakati wahudumu wake walipojaribu kuficha kuelezea nchi ilikotokea, na kwa sasa inashikiliwa na Marekani.

Hii ni mara ya kwanza kwa Marekani kuchukua hatua kama hiyo dhidi ya Korea ya Kaskazini.

Hatua hiyo inaweza kuongeza mivutano kati ya nchi hizo mbili wakati ambapo mazungumzo kuhusu mpango wa silaha za nyuklia za Korea Kaskazini yamekwama.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
585,000SubscribersSubscribe

Latest Articles