31.2 C
Dar es Salaam
Thursday, March 28, 2024

Contact us: [email protected]

MADIWANI MERU WAOMBA KUFANYA KAZI ZA KUJITOLEA


Baadhi ya madiwani wa Chadema Meru waliojizulu, wameomba kufanya kazi za kujitolea katika Halmashauri ya wilaya ya Arusha Vijijini.

Kauli hiyo imetolewa leo na Mkurugenzi wa halmashauri ya Arusha Vijijini, Dk Charles Mahera, alipokuwa akijibu swali la papo kwa papo, lililohoji baadhi ya madiwani hao kuajiriwa katika halmashauri hiyo, ambapo alipinga kuajiri madiwani hao.

Hadi sasa madiwani 6 wa Chadema wamejiuzulu wakiwemo watano kutoka Meru na mmoja kutoka Halmashauri ya Jiji la Arusha.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
585,000SubscribersSubscribe

Latest Articles