27.9 C
Dar es Salaam
Thursday, March 28, 2024

Contact us: [email protected]

Madam Ruth: Muziki wa Injili umejaa ufitini

madamu rutNA GEORGE KAYALA

MWIMBAJI wa nyimbo za Injili, Madam Ruth Mwamfupe ‘Madam Ruth’, ameweka wazi kwamba wasanii wengi wa muziki huo ni wafitini kutokana na kujihusisha katika masuala ya kishirikina na kuitenga imani yao.

Akizungumza na MTANZANIA, Madam Ruth anayetamba na wimbo wake wa ‘Jana Imepita’, alisema alidhani mambo hayo hufanywa na wasanii wa muziki mwingine lakini ajabu yanafanyika katika muziki wa Injili.

“Kumekua na ufitini mwingi kwenye huduma hii ya uimbaji, inadaiwa wapo wanaokwenda kwa waganga wa jadi kwa ajili ya kuzima nyota za waimbaji wengine jambo ambalo ni kinyume na mpango wa Mungu na wanaofanya hivyo wanapaswa kuacha kwani mwisho wao si mzuri,” alisema msanii huyo.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
585,000SubscribersSubscribe

Latest Articles