27.2 C
Dar es Salaam
Tuesday, April 23, 2024

Contact us: [email protected]

Lava Lava awafunga mdomo wabaya wake

GLORY MLAY

MSANII wa muziki kutoka lebo ya WCB, Abdul Iddi maarufu kwa jina la Lava Lava, amewafunga midomo wanaedai kuwa anaishi kwenye nyumba ya mpenzi wake.

Akizungumza na MTANZANIA jana, Lava Lava alisema maisha ya uhusiano ni siri na makubaliano baina ya watu wawili hivyo anawashanga watu wanaomsema vibaya kwa kuishi nyumbani kwa mpenzi wake.

“Kwanza tunapunguza majukumu, hata hivyo ninanyumba ya kuishi, hivyo kwenda kukaa kwake wiki, mwezi sioni tatizo kwa sababu ni mpenzi wangu, shida ni kwamba watu wengi wamezoea kuona mwanamke ndio anayepaswa kuishi kwa mwanamke, sio kweli.

“Watu wanatakiwa kubadilisha mawazo yao, maisha yamebadilika hayapo kama zamani,” alisema msanii huyo.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles