30.2 C
Dar es Salaam
Saturday, April 20, 2024

Contact us: [email protected]

La Liga kulaani ubaguzi Serikali ya Hispania

neymaBARCELONA, Hispania

UONGOZI wa Ligi Kuu Hispania, La Liga umesema utatuma ripoti kwa kamati ya Serikali inayohusika na kupambana na uhalifu ya kulaani vitendo vya ubaguzi wa rangi na lugha chafu vilivyofanywa na mashabiki katika mchezo wa Espanyol dhidi ya Barcelona Jumamosi iliyopita.

Kwa mujibu wa tovuti ya ligi hiyo, ripoti hiyo itakuwa ikilaani maneno ya kibaguzi kuelekezwa kwa mshambuliaji wa Barcelona, Neymar Jr pamoja na lugha ya kuudhi dhidi ya klabu hiyo.

Pia Shirikisho la Soka la nchi hiyo kitengo cha nidhamu ilisisitiza kukataza vitendo vya kuchochea vurugu, ubaguzi wa rangi, chuki katika michezo.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles