23 C
Dar es Salaam
Saturday, April 20, 2024

Contact us: [email protected]

Kadinda kutamba na ‘Kambale’ Afrika Kusini

martin_kadindaNA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM
MBUNIFU wa mavazi Tanzania, Martin Kadinda, anatarajia kuonyesha mitindo mbalimbali aliyoipa jina la ‘Kambale’ katika maonyesho maalumu yatakayojulikana kama wiki ya mavazi, nchini Afrika Kusini.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Kadinda ambaye aliondoka jijini jana jioni kuelekea Afrika Kusini, alisema mitindo hiyo itajumuisha mavazi ya kiume na viatu vyake vya ‘Mugat’
Alisema maonyesho hayo yamepangwa kuanza kufanyika Jumatano lakini yeye atapanda jukwaani Alhamisi kuonyesha mitindo yake.
“Nina imani maonyesho haya ni hatua nzuri ya kutangaza kazi zangu na kulitangaza taifa langu la Tanzania, lazima tujivunie ubunifu wetu,” alisema Kadinda.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles