23.3 C
Dar es Salaam
Saturday, April 20, 2024

Contact us: [email protected]

IZZO BIZNESS: DAWA ZA KULEVYA ZIMEWASHUSHA WASANII

Na MWANAHAMIS MKALI, (TGH)


RAPA Izzo Bizness, anayetamba na wimbo wa ‘Umeniweza’, ameweka wazi kwamba dawa za kulevya ndizo zilizoshusha viwango vya baadhi ya wasanii wa muziki wa Bongo Fleva nchini.

Izzo alidai hataki kuingia ndani zaidi katika masuala hayo, lakini anaamini wasanii wengi wa muziki huo wameshuka viwango vyao vya kuimba na kutunga kutokana na matumizi ya dawa za kulevya.

“Kwa upande wangu sina mengi ya kusema kuhusu matumizi haya ya dawa za kulevya kwa wasanii, ila nawaasa hizo dawa ndizo zinazopunguza nguvu kazi za vijana na kuondoa thamani ya utu wao kwa jamii, ni bora waachane nazo kwa faida yao na nchi kwa ujumla,” alieleza Izzo.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles