27.2 C
Dar es Salaam
Tuesday, April 23, 2024

Contact us: [email protected]

Irene Paul amtaka Amini kumuoa Linah

Na GLORY MLAY

MSANII wa Bongo Movie, Irene Paul amemtaka msanii wa Bongo Fleva Amini Mwinyimkuu ‘Amini’ kumuoa Linah Sanga na sio kutamini kuzaa nae.

Irene alisema wasanii wengi hapa nchini wanatakangaza sana mahusiano yao katika mitandao ya kijamii lakini uhusiano wao unakuwa hauna ukweli.

Alisema kama kweli Amini anamalengo na Linah basi asitamani kuzaa nae bali amuoe waishi katika ndoa.

“Wasaanii wengi wanaogopa kuoa kwa kukwepa majukumu, ndoa ni tamu hasa kama mnapendana sana hivyo namshauri Amini asitamani kuzaa tu na Linah amuoe kama anampenda, atazaa nae alafu nani atamuoa,  ajipange ndoa sio ngumu,” alisema.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles