27.2 C
Dar es Salaam
Tuesday, April 16, 2024

Contact us: [email protected]

Huduma ya kisasa uchunguzi saratani ya matiti yaanza Mloganzila

NA VERONICA ROMWALD – DAR ES SALAAM
Hospitali ya Taifa Muhimbili, tawi la Mloganzila (MAMC), imeanza kutoa huduma ya kisasa ya uchunguzi wa saratani ya matiti.

Kwa njia hiyo ya kisasa, wataalamu sasa wanao uwezo wa kuchukua sampuli ya kinyama (biopsy) mwilini pasipo kufanya upasuaji wa aina yoyote ile.

Mtaalamu wa Tiba Mionzi (Radiologist), Dk. Lulu Sakafu amesema hayo leo Februari 2, alipozungumza na waandishi wa habari hospitalini hapo.

Amesema hiyo ni mara ya kwanza kwa huduma hiyo kuanza kutolewa hospitalini hapo.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles