28.2 C
Dar es Salaam
Saturday, April 20, 2024

Contact us: [email protected]

Guardiola: Arteta afanye uamuzi sahihi

MANCHESTER, England

KOCHA wa Manchester City, Pep Guardiola ameshindwa kuzima uvumi wa msaidizi wake kuwa atajiunga na Arsenal hivi karibuni, lakini amemtaka Mhispania mwenzake kufanya uamuzi sahihi.


Guardiola alimjumuisha Arteta katika benchi lake la ufundi pindi alipojiunga kwa mara ya kwanza na kikosi cha Manchester City msimu wa 2016/17, wakati huo alikuwa ametoka kustaafu soka akiwa na Arsenal.


“Siwezi kusema anaondoka au anabaki, lakini naweza kumuelezea kama mmoja wa watu wazuri wanaojua majukumu yao, kimbinu na mambo mengine yote.


“Kwa sasa yupo hapa, ingawa, najua kulikuwa na maongezi kati yake na Arsenal, atulize kichwa afanye uamuzi sahihi,” alisema.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles