27.5 C
Dar es Salaam
Thursday, April 25, 2024

Contact us: [email protected]

Fastjet yasitisha safari zake, kurudisha nauli kwa abiria

Mwandishi Wetu, Dar es Salaam

Kampuni ya Ndege ya Fastjet Tanzania imesitisha safari zake kwa muda usiojulikana kutokana na sababu za kiutendaji.

Taarifa iliyotolewa na Fastjet leo Jumatatu Desemba 17, kampuni hiyo pia imetoa taarifa kwa wateja wake wote waliokata tiketi kwa ajili ya kusafiri kati ya Desemba mwaka huu na Januari mwakani watarudishiwa fedha zao na Menejimenti ya Fastjet.

“Wateja wote watarudishiwa fedha zao za nauli kwa utaratibu walionunua kuanzia Desemba 20 mwaka huu pia makampuni na mashirika mbalimbali ambayo yalikuwa yanafanya biashara na fastjet yawasiliane nasi kupitia barua pepe au maofisa husika, tunaomba radhi kwa usumbufu wowote utakaojitokeza,” imesema taarifa hiyo.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles