24.2 C
Dar es Salaam
Thursday, April 25, 2024

Contact us: [email protected]

Ebola yatishia usalama DRC

KINSHASA, DRC


SHIRIKA la Afya Duniani limesema kwamba visa 200 vya ugonjwa wa Ebola vimerekodiwa tokea mlipuko huo ulipozuka Agosti mosi, huku wagonjwa 165 wakiwa wamethibitishwa kwa vipimo vya maabara na 35 wakitajwa kuwa wanaweza kuwa na ugonjwa huo.

Wafanyakazi wanaotoa misaada ya kibinadamu, wanajaribu kutuliza hofu katika eneo la Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo lililoharibiwa kwa mapigano, ambako watu 125 tayari wameshapoteza maisha huku virusi hivyo vikiwa vinaendelea kusambaa.

Shirika hilo limeeleza wasiwasi wake juu ya kuongezeka kwa idadi hiyo ya maambukizi katika wiki za hivi karibuni, hususan katika mji wa Beni uliopo karibu na mpaka wa Uganda.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles