29.2 C
Dar es Salaam
Thursday, April 18, 2024

Contact us: [email protected]

Dstv yajikita kumuenzi King Majuto

Amina Omari,Tanga

Kampuni ya ving’amuzi ya DSTV, imesema itajikita katika kuenzi kazi za marehemu Amir Athumani ‘king Majuto’ ili kuhakikisha vizazi vinavyokuja vinajua kazi zake.

Kauli hiyo imetolewa na Meneja mauzo wa anda ya Kaskazini, Jackson Mark, wakati wa kumbukumbu ya kuenzi kifo cha msanii huyo ‘Majuto Day’. 

Naye Msemaji wa familia Mohamed Majuto, amesema kuwa ili kumuenzi marehemu tayari wako mbioni kuachia kazi ambazo alizifanya kabla ya umauti kumfika.

Naye msanii Rehema Abdallah amesema tayari wameshapata mbadala wa King Majuto ambaye anatarajiwa kutambulishwa nchini Kenya hivi karibuni.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles