30.2 C
Dar es Salaam
Wednesday, April 24, 2024

Contact us: [email protected]

DAVIDO JUKWAA MOJA NA J. COLE, NELLY



NORTH CAROLINA, MAREKANI

STAA wa muziki Afrika, David Adeleke maarufu kutoka nchini Nigeria, Davido, ametangaza kuwa, anatarajia kupanda jukwaa moja na mastaa wa muziki nchini Marekani, J. Cole, Nelly Young Thug pamoja na Big Sean.

Wasanii hao watakutana kwenye tamasha la Dreamville Festival, ambalo linatarajiwa kufanyika Septemba 15, huko North Carolina nchini Marekani.

Msanii huyo raia wa nchini Nigeria, ametumia ukurasa wake wa Twitter na kudai kuwa, ndoto zake zinatimia kufanya kazi na wasanii wakubwa duniani.

Wasanii hao ambao watapamba tamasha hilo ni pamoja na J Cole, Big Sean, Bas, Nelly, Young Thug, Teyana Taylor na wengine wengi.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles