29.2 C
Dar es Salaam
Wednesday, April 24, 2024

Contact us: [email protected]

CARDI B AONESHA UWEZO COACHELLA

CALIFONIA, MAREKANI


MWANAMUZIKI wa hip hop wa Marekani, Cardi B, juzi ameonesha kukonga nyoyo za mashabiki wa muziki wake katika sherehe  za Coachella zilizofanyika Ukumbi wa Empire Polo uliopo jijini Califonia, Marekani.

Cardi B ambaye ni mjamzito, alipanda jukwaani kuonesha uwezo wake wa kutoa burudani ikiwa ni siku moja tangu mwanamuziki, Beyonce apande kuungana tena na kundi la Destiny’s Child.

Gumzo kwa mwanamuziki huyo liliongezeka baada ya kuvaa nguo iliyobuniwa na Alejandro sawa na kundi la  TLC. Nyota huyo pia alitumbuiza pamoja na kundi la YG, G-Eazy, Chnace The Rapper, Kehlani na 21 Savage.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles