27.5 C
Dar es Salaam
Friday, March 29, 2024

Contact us: [email protected]

BWANA HARUSI ALIYEKIMBIWA ADAI MAHARI YAKE


Na ASHA BANI-DAR ES SALAAM   |

BWANA harusi aliyekimbiwa na bibi harusi, Omary Mohamed, amesema baada ya tukio hilo amelazimika kudai fedha zake za mahari ili aweze kuendelea na maisha yake.

Akizungumza na MTANZANIA jana, Omary alisema kwa sasa hawezi kusema lolote zaidi ya kusubiri kulipwa fedha zake madai ambayo ameyawasilisha kwa Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Kilungule Manispaa ya Ubungo.

“Kwa sasa hatua ninayosubiri ni kulipwa fedha zangu. Na muda huu nipo nyumbani kwangu Buguruni Mtaa wa Ghana, lakini unanihoji badala hata kunitumia hata hela ya kahawa,” alisema kwa kifupi Omary.

Kauli ya bwana harusi huyo inatokana na tukio lililotokea juzi baada ya bibi harusi mtarajiwa aliyefahamika kwa jina la Asha Mohamed mkazi wa Kilungule Wilaya ya Ubungo kumkimbia bwana harusi na mshenga wake wakiwa wamepigwa butwaa.

Tukio hilo lilitokea saa 7 mchana jana ambapo bwana harusi mtarajiwa aliachwa …..

Kwa habari kamili jipatie nakala yako ya gazeti la MTANZANIA.
- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
585,000SubscribersSubscribe

Latest Articles