30.2 C
Dar es Salaam
Thursday, March 28, 2024

Contact us: [email protected]

BARNABA AENDELEA KUMUWAZA FALLY IPUPA

Na JENNIFER ULLEMBO–DAR ES SALAAM


 

MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Barnaba Elias ‘Barnaba Classic’, amesema bado ndoto zake za kufanya kazi ya pamoja na msanii, Fally Ipupa, kutoka nchini Congo zipo pale pale.

Akizungumza hivi karibuni, msanii huyo alisema mipango yake bado inaendelea kwani mbali ya kufanya kazi na msanii huyo, pia anahitaji kusaka wasanii wengine wakimataifa.

“Ndoto zangu za kufanya kazi na Fally Ipupa zipo palepale ni msanii ambaye nimekuwa nikivutiwa naye tangu nilipoanza kuwa mwanamuziki,” alisema Barnaba.

Barnaba alisema kwa sasa anaendelea na mipango yake ya kuachia albamu mpya, ambayo itakuwa na ‘surprise’ mbalimbali.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
585,000SubscribersSubscribe

Latest Articles