22.8 C
Dar es Salaam
Thursday, April 18, 2024

Contact us: [email protected]

Ali Kiba amkana Neyo

alikiba-1Na Leticia Bwire (TUDARCO)

MKALI wa wimbo wa ‘Mwana Dar’, Ali Kiba, amekanusha kufanya wimbo wa ushirikiano na mwanamuziki wa kimataifa kutoka Marekani, Neyo.

Ali Kiba alisema ameshangazwa na taarifa hizo, huku akisisitiza kwamba hakuna jambo hilo, lakini wakishirikiana na msanii huyo litakuwa jambo jema.

Katika hatua nyingine, msanii huyo anatarajiwa kuachia wimbo wake mpya, aliouita ‘Nagharamia’ ambao amemshirikisha Christian Bella.

“Nina mpango wa kuachia ngoma yangu mpya hivi karibuni inayoitwa ‘Nagharamia’ ambao naamini utafika katika nafasi mbalimbali za kimataifa,’’ alimaliza.

 

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles