24.2 C
Dar es Salaam
Thursday, April 25, 2024

Contact us: [email protected]

Albamu ya Kanye West yaongoza kwa kuibiwa

Kanye WestBADI MCHOMOLO NA MTANDAO

ALBAMU mpya ya mwanamuziki Kanye West, ya ‘Life of Pablo’ inaongoza kwa kusikilizwa bila malipo yoyote.

Albamu hiyo yenye siku nne tangu ilipoachiwa imeshaangaliwa mara 500,000 katika mtandao wa Torrent Freak, wakati mwenyewe alidai inauzwa kwenye mtandao mmoja wa Tridal.

Hata hivyo, maelfu ya watu waliolipa ili kusikiza albamu hiyo walilalamika kutoipata mtandaoni, licha ya kuilipia.

“Nashangaa kuona albamu hiyo ikisambaa zaidi tofauti na mafanikio ninayopata, naamini kuna wizi unafanyika,” aliandika Kanye kwenye akaunti yake ya twitter.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles