23.2 C
Dar es Salaam
Friday, April 19, 2024

Contact us: [email protected]

Aunt Ezekiel: Msibani si kwa kuonyesha urembo

auntez ekiel4NA RHOBI CHACHA

STAA wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel amewaponda wasanii wanaokwenda misibani wakiwa wamejipara kupita kiasi.

Msanii huyo aliwaponda wasanii wenzake wenye tabia ya kutumia sehemu za misiba kugeuza uwanja wa kuonyesha mavazi na vito vya thamani katika miili yao.

“Wenye tabia hizo acheni kujipodoa katika msiba, tunakera wenzetu ndiyo maana linaongelewa kila siku tuishi kulingana na utamaduni wetu tusiige,’’ alisema huku akifafanua zaidi.

“Wenzetu wakiwa katika majonzi nasi tufanane nao tusiende kuonyesha ujuaji wa kuvaa na kujipodoa kiasi cha kuwa kero kwa wanaotutazama,’’ alimaliza Aunt.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles