31.2 C
Dar es Salaam
Thursday, March 28, 2024

Contact us: [email protected]

King Majuto: Baada ya Ramadhani natoka na Uganga Basi

King Majuto
King Majuto

NA GLORY MLAY,

MSANII mkali wa filamu, maigizo na vichekesho nchini, Amri Athuman maarufu King Majuto, anatarajia kutambulisha filamu yake mpya itakayojulikana kwa jina la ‘Uganga Basi’.

Mkali huyo ambaye kwa sasa anatamba na filamu yake mpya inayoitwa ‘Kirungu’ aliyomshirikisha mchekeshaji mahiri na mkongwe katika vichekesho, Brother K, alisema filamu hiyo itatoka Julai mwaka huu.

Majuto aliliambia MTANZANIA kwamba filamu hiyo ina mafunzo ya kutosha huku akiamini itatoa mafunzo mengi kuhusiana na uganga unaotumikiwa na wengi na kusahau mambo mengine ya maendeleo,” alisema.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
585,000SubscribersSubscribe

Latest Articles